Waheshimiwa wa Bunge wakishindana na Watumishi wa Bunge kwenye mchezo wa kukimbiza kuku wakati wa Bonanza la kimichezo la Bunge ambalo limefanyika leo Jijini Dodoma.
Tutazidi kuwaambia wananchi wetu wajue thamani ya miundombinu ya reli ya treni ya umeme (SGR) hii na faida zake na kwamba hii ni mali yao na wao ndio wawe walinzi wa kwanza kuhakikisha kwamba miundombinu inakuwa ni ya faida na kutunzwa.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema katika mwaka wa fedha 2021/2022 miradi mipya ya uwekezaji 630 yenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 3.68 inayotekelezwa na makampuni ya India imesajiliwa kupitia Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na wananchi wa eneo la Kagongwa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wakati akiwa ziarani katika mkoa tarehe 18 Januari 2023.
Walimu wanawajibu wa kuhakikisha nidhamu, maadili, uzalendo na utanzania wa mtoto unafundishwa na kushawishi jamii jinsi gani mtoto awe,
hivyo ni vyema tukatoa motisha kwa walimu nchini ili kuongeza ari ya utunzaji na ufundishaji wa watoto wetu," amesema Dkt. Charles Msonde